National Institute of Transport - NIT

ALL NEWS

All News

National Institute of Transport - NIT

π—‘π—œπ—§ π—¬π—”π—œπ—•π—¨π—žπ—” π— π—¦π—›π—œπ—‘π——π—œ π—ͺ𝗔 π—žπ—ͺ𝗔𝗑𝗭𝗔 π—žπ—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ π— π—”π—’π—‘π—˜π—¦π—›π—’ 𝗬𝗔 π—žπ—’π—‘π—šπ—”π— π—”π—‘π—’ π—Ÿπ—” π—§π—œπ—¦π—” π—Ÿπ—” π—ͺπ—”π—›π—”π—‘π——π—œπ—¦π—œ π—ͺ𝗔𝗑𝗔π—ͺπ—”π—žπ—˜ π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” (𝗧𝗔π—ͺπ—˜π—–π—˜)

Aug. 30, 2024, 8:57 a.m.

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimeibuka mshindi wa kwanza (1) kati ya Taasisi kumi na moja(11) za Elimu ya Juu ambazo zimeshiriki kwenye maonesho ya kongamano la tisa 9 la wahandisi wanawake Tanzania (Tawece) na kukabidhiwa tuzo ya mshindi wa kwanza.

Kongamano hilo limefanyika jijini Dar es salaam katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center (JNICC) kuanzia tarehe 21 hadi 22 Agosti,2024.

Mkuu wa Idara ya π™€π™‘π™šπ™˜π™©π™§π™€π™£π™žπ™˜π™¨ 𝙖𝙣𝙙 π™π™šπ™‘π™šπ™˜π™€π™’π™’π™ͺπ™£π™žπ™˜π™–π™©π™žπ™€π™£ π™€π™£π™œπ™žπ™£π™šπ™šπ™§π™žπ™£π™œ Bi. Grace Kibweja amepokea tuzo hiyo ya mshindi wa kwanza kwa niaba ya Mkuu wa Chuo.

DIRISHA LA UDAHILI KWA NGAZI YA SHAHADA LIMEFUNGULIWA BONYEZA HAPA KUJISAJILI

July 17, 2024, 9:31 a.m.

National Institute of Transport - NIT

CPA AND CPSP REVIEW CLASSES REGISTRATION FORM

July 5, 2024, 2:03 p.m.

The National Institute of Transport (NIT) is offering intensive review classes to help you prepare for the Certified Public Accountant (CPA) and Certified Procurement and Supply Professional (CPSP) examinations in November 2024.

For registration, please click the link https://shorturl.at/sBYpq

 

For payment purposes contact the coordinators: 

Head CPD Mobile: +255713323370 or Assistant Head CPD Mobile +255719589955

Email: head.cpd@nit.ac.tz

 

 

National Institute of Transport - NIT

THE FIRST REGIONAL CENTRE OF EXCELLENCE FOR ROAD SAFETY IN EAST AFRICA KICKS OFF

June 22, 2024, 9:03 a.m.

National Institute of Transport - NIT

MAFUNZO YA WAHUDUMU WA MABASI YA MASAFA MAREFU NA MIJINI - DAR ES SALAAM

June 8, 2024, 10:41 p.m.

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji chaendelea kutoa mafunzo kwa Wahudumu wa Mabasi ya Masafa Marefu na Mijini - Dar es salaam. Mafunzo hayo ya siku sita (6) yalianza siku ya Jumatatu tarehe 03.06.2024 na kuhitimishwa siku ya Jumamosi tarehe 08.06.2024 ambapo jumla ya washiriki 43 wemehudhuria mafunzo hayo na kutunukiwa vyeti.

Akizungumza na washiriki wakati wa Hafla ya Kufunga Mafunzo hayo iliyofanyika leo katika ukumbi wa Kituo cha Ukaguzi wa Magari uliyopo katika kampasi ya Chuo Mabibo jijini Dar es salaam, Kaimu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri Elekezi, Dkt. John Mahona 
amewaasa washiriki wa mafunzo hayo kuzingatia yale yote 
waliyojifunza ili kuleta tija na mabadiliko chanya katika vituo vyao vya kazi. Amesema

"Mkayazingatie yote mliyofundishwa ili kuleta tija katika vituo vyenu vya kazi"

National Institute of Transport - NIT

NIT students participated in a one day workshop organized by Carter Center in collaboration with China-Africa Vocational Education Cooperation Alliance (CAVECA)

June 8, 2024, 10:36 p.m.

NIT students participated in a one-day workshop organized by the Carter Center in collaboration with China-Africa Vocational Education Cooperation Alliance (CAVECA).

The workshop was held at NIT main campus Mabibo Dar es Salaam on Saturday 8th June 2024 focusing on empowering students with knowledge on the importance of climate - resilient infrastructure such as flood plains, embankments and other systems to reduce vulnerability to climate -related hazards such as floods and landslides.

KALENDA YA KOZI ZA MADEREVA JULY – DECEMBER 2024

June 7, 2024, 11:44 a.m.

National Institute of Transport - NIT

NIT NA SIMBA SUPPLY CHAIN SOLUTION YAHUISHA MKATABA WA USHIRIKIANO

June 5, 2024, 12:08 p.m.

Mkuu wa Chuo Dkt. Prosper Mgaya (kushoto) akikabidhia vitabu na Meneja wa Kampuni ya Simba Supply Chain Solutions Ndg. Ajuaye Kheri Msese vinavyoelimisha umuhimu wa kubadili tabia kwa watumiaji wa Barabara "Mfumo Mahiri wa Msingi wa Kitabia" mara baada ya kuhuisha Mkataba wa Ushirikiano baina yaTaasisi hizo mbili, tarehe 4 Juni, 2024.

National Institute of Transport - NIT

NIT NA MOI KUINGIA MAKUBALIANO YA KUSHIRIKIANA KUTOKOMEZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI

June 5, 2024, 12:06 p.m.

Mkuu wa Chuo Dkt. Prosper Mgaya (wa pili kutoka kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Ubongo Muhimbili MOI (wa pili kushoto) wakionesha  Mikataba ya ushirikiano kwa waandishi wa habari baada ya kuingia makubaliano ya kushirikiana kutokomeza ajali za Barabarani nchini, tarehe 4 Juni,2024.

Ushirikiano huo utasaidia kwanza kuimarisha eneo la huduma ya kwanza pale ajali inapotokea lakini pia ushirikiano huu utasaidia kupatikana kwa takwimu sahihi za ajali za barabarani kwani majeruhi wengi wa ajali hizi wanatibiwa katika hospital ya MOI.

National Institute of Transport - NIT

NIT PARTICIPATED IN THE CHINA-AFRICA TVET COLLABORATION ACADEMIC EXCHANGE SEMINAR & OCCUPATIONAL STANDARDS PROMOTION AND APPLICATION AGENDA

June 5, 2024, 11:55 a.m.

NIT participated in the China-Africa TVET Collaboration Academic Exchange Seminar & Occupational Standards Promotion and Application Agenda held at Johari Rotana Hotel on 3rd June,2024.
The seminar aimed at providing a platform for exploring avenues to establish areas of collaborations between Tanzanian TVET Institutions with the counterpart TVET Institutions from China. The proposed areas for strategic cooperations include research, training, students and staff exchange, consultancy etc.

50 YEARS NIT ANNIVERSARY 1975-2025

Excellence in Transport for a Sustainable Economy.